TANZANIA MIONGONI MWA NCHI 5 UTEKELEZAJI WA KUKABILIANA NA DHARURA NA MAJANGA AFRIKA
Na. Catherine Sungura, Wizara ya Afya-Dodoma Tanzania ni miongoni mwa nchi 5 kati ya 17 za awamu ya kwanza barani Afrika zitakazotekeleza mradi wa kuwajengea uwezo wa sekta ya afya kujiandaa, kugundua na kukabiliana na dharura na majanga. Wataalamu wa sekta ya mbalimbali wanaoshirikiana na sekta ya afya katika kukabiliana na dharura na majanga wameshiriki.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed